.
19th February, 2019
Boniface Murage alijulikana na wengi jana siku ya Jumatatu baada ya kujaribu kumtorosha mwanawe wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja na siku sita kwa kumficha kwenye begi kutoka hospitali ya kitaifa ya Kenyatta, kwa kitendo hicho, alikamatwa na kufikishwa mahakamani, ambapo mambo yalichukua mkondo wa afueni kwake na deni lililomzonga kulipwa licha ya kupewa masharti na mahakama.