×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwanafunzi wa kidato cha tatu amekufa maji alipokuwa akiogoelea katika mto

19th February, 2019

Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Mutige Kaunti ya Kirinyaga amekufa maji alipokuwa akiogoelea katika mto rwamuthambi kijiji cha getuya. Kijana huyo aliandamana na wenzake jana kuogelea katika mto huo, lakini hakubahatika kutoka salama. Inaarifiwa kuwa  kijana huyo mwenye umri wa miaka kumi na saba alijaribu kuomba msaada wa wenzake lakini  kasi ya maji iliwazidi wenzake. Wenyeji walikusanyika kwenye juhudi za kuutafuta mwili wake ambao ulikuwa ungali haujapatikana.

.
RELATED VIDEOS