×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kazi ya kusuka vikapu na mikeka kwa saa ishirini na nne | Bongo la Biashara

19th February, 2019

Hii leo kwenye makala yetu ya kila jummanne ya bongo la biashara tunamwangazia jamaa mmoja kutoka Kaunti ya Uasin Gishu ambaye anafanya kazi ya kusuka vikapu na mikeka kwa saa ishirini na nne. Wengi mjini eldoret humdhania kuwa na akili taahira lakini charles aluanga hupata kipato cha haja kinachomkidhi maishani.

.
RELATED VIDEOS