.
19th February, 2019
Hii leo kwenye makala yetu ya kila jummanne ya bongo la biashara tunamwangazia jamaa mmoja kutoka Kaunti ya Uasin Gishu ambaye anafanya kazi ya kusuka vikapu na mikeka kwa saa ishirini na nne. Wengi mjini eldoret humdhania kuwa na akili taahira lakini charles aluanga hupata kipato cha haja kinachomkidhi maishani.