.
18th February, 2019
Wakazi wa kijiji cha kapsimatwa eneo bunge la pokot kusini wamefurahia zawadi ya maji waliyotunukiwa na mbunge wao. Eneo hilo limeshuhudia ukosefu wa maji ambao unachangia wanafunzi kukata masomo shuleni ili kutafuta maji. Ray polo anasimulia shida za wakaazi pamoja na afueni waliyonayo kutokana na zawadi hiyo ya maji.