18th February, 2019
Chuo cha kutoa mafunzo ya ufundi cha kaiboi kimefungwa kwa muda usiojulikana baada ya kisa cha msichana mmoja mwanafunzi kudaiwa kuawa na mpenzi wake kwenye maswala yanayofungamanishwa na mapenzi. Hali ya taharuki ilitanda shuleni humo hivyo kuwalazimu wadau wanaohusika kufunga chuo hicho kwa dharura.