.
16th February, 2019
Kenya nafahamika kuwa na wanyama pori wa aina yake, huku idadi ya wanyama fulani ikipatikana katika eneo la kaskazini mwa Kenya pekee. Kutokana na uwindaji haramu, idadi ya wanyama hawa imekuwa kwenye hatari ya kupungua na katika juhudi za kuwahifadhi, maeneo kama hifadhi ya wanyama ya lewa yakabuniwa. Hifadhi hii ya lewa ndiyo inayotupambia makala yetu ya kila wiki ya tembea kenya kama george maringa anavyotuarifu.