.
16th February, 2019
Wakaazi wa eneo la karare, kaunti ya Marsabit waliwakaribisha viongozi wa kaunti hiyo kwa maji chafu kwenye chupa walipohudhuria mkutano katika eneo hilo swala lililozua mjadala mtandaoni. Wenyeji hao sasa wameelezea kuwa maji hayo ni ishara ya hamaki waliokuwa nayo kwa viongozi wao. Sirajurahman abdullahi na anatuelezea zaidi.