7th February, 2019
Watu wanne wamekamatwa katika kaunti ya machakos baada ya kupatikana na dawa na vifaa vya matibabu vyenye usajili wa serakali. Uchunguzi wa DCI unaonyesha kuwa asili ya dawa hizo ni hopsitali ya machakos level five,ishara kuwa kumekuwa na wizi wa dawa hospitalini humo hivyo basi kutatiza matibabu