.
7th February, 2019
Zaidi ya miaka saba iliopita kulikuwa na sarafu mbadala za pesa zilizotia fora sana katika eneo la mombasa na haswa kitongoji cha bangladesh almaarufu bangla. Fedha hizi ambazo wakati mwengine zilitumika kama vocha zilijulikana Kama bangla pesa.