×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Shughuli za matibabu katika Kaunti 7 nchini zimerejelea

5th February, 2019

Shughuli za matibabu katika Kaunti 7 nchini zimerejelea hali yake ya kawaida baada ya wauguzi waliokuwa wanagoma kusitisha mgomo wao. Kaunti hizo ni mandera, vihiga, tharaka nithi, nyandarua, nyeri, kitui na kiambu. Wauguzi hao wameweza kusitisha mgomo baada ya serikali za kaunti hizo kukubaliana na wauguzi wao jinsi watalipwa marupurupu ya utendakazi na yale ya sare kama walivyotia saini mkataba wa maeleweno mwaka 2017. Lakini hali ni tofauti katika kaunti za Pokot magharibi, Kisumu, Nairobi, Kisii, Taita Taveta, Trans Nzoia, Elgeyo marakwet na Wajir.

.
RELATED VIDEOS