.
4th February, 2019
Huduma za afya zilidumazwa katika kaunti mbali mbali za humu nchini baada ya wauguzi kuandaa mgomo unaotishia kuzima pumzi za watu. Viongozi wa wauguzi waliendelea kushikilia misimamo yao mikali licha ya serikali kuwataka wasitishe mgomo huo.