2nd February, 2019
Watu watatu wameaga dunia baada ya kunywa mchang'anyiko wa dawa za kienyeji katika eneo la ujenzi linalomilikiwa na kinara wa anc musalia mudavadi. Mwanafamilia wa mmoja wa walioaga dunia edmond egesa ananadai kuwa hawakuarifiwa kuhusiana na tukio hilo hadi siku ya ijumaa.