.
31st January, 2019
Afya ya mamilioni ya wakenya huenda ikawa hatarini baada ya serikali kutoa tahadhari kuhusu siagi ya njugu aina ya nuteez ambayo imepatikana kuwa na viwango vya juu vya sumu ya aflotoxin. Katika taarifa ya wizara ya usalama wa ndani ilieleza kuwa siagi hiyo ya nuteez inaviwango vya juu zaidi vya sumu hiyo kupita viwango vinavyokubalika. Wizara ya afya imeagiza siagi hiyo iondolewe madukani