.
27th January, 2019
Wanasiasa kutoka Bonde la Ufa wamemshtumu Gavana wa Mombasa Hassan Joho kwa madai kwamba yeye pamoja na chama cha ODM wana ajenda fiche kwenye salamu za heri baina ya Rais Uhuru Kenyatta na Raila Odinga.
Wakizungumza katika kaunti ya Nandi wanasiasa hao wamemtaka Joho kuyaweka bayana anayoyajua kuhusu salamu hizo za heri.