.
22nd January, 2019
Rais Uhuru Kenyatta ameapa kuzidisha vita dhidi ya ugaidi na kuwa serikali yake itapambana vilivyo na magaidi. Katika kikao na makamishna pamoja na makamanda wapya katika ikulu ya Mombasa Rais Kenyatta pia aliwaonya maafisa watakaojihusisha na ufisadi kuwa watapigwa kalamu.