×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Polisi wamemtia mbaroni mwanaume mmoja anayekisiwa kuhusika kwenye mauaji ya watotoe

22nd January, 2019

Polisi katika mtaa wa shauri moyo hapa jijini wamemtia mbaroni mwanaume mmoja anayekisiwa kuhusika kwenye mauaji yenye utata. Joseph simiyu anadaiwa kuwauwa wanawe wawili kwa kuwapa sumu jumapili usiku. Walioshuhudia wamesema kuwa aliificha miili ya bintii zake baada ya kuwau hadi mapema leo alipoamsha jirani zake na kudai kuwa alivaamiwa na wezi waliwauwa wanawe. Kulingana na majirani, simiyu na mkewe wamekuwa wakizozana kwa muda mrefu, jambo lililomfanya mkewe kurudi kwa wazazi wake wakati wa tukio. Miili ya watoto hao ilipelekwa katika hifadhi ya maiti ya city. Uchunguzi umeanzishwa kubaini kiini cha tukio hilo.

.
RELATED VIDEOS