Watu wawili walijeruhiwa walipovamiwa na watu wasiojulikana katika eneo la Mau Narok
22nd January, 2019
Watu wawili walijeruhiwa vibaya katika eneo la Mau Narok walipovamiwa na watu wasiojulikana. Wawili hao walikuwa wakinyunyizia dawa mazao yao kwenye shamba la muthera. Joan letting anaarifu kwa kina.