×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Polisi wakamata washukiwa wanaoaminika kupanga njama ya shambulizi ya Dusit

19th January, 2019

Maafisa wa polisi wanaochunguza shambulizi la kigaidi katika mkahawa wa kifahari wa Dusit mtaa wa Riverside Drive siku ya jumanne wameendelea na operesheni ya kamatakamata dhidi ya washukiwa wanaoaminika kupanga njama ya shambulizi hilo. Mapema hivi leo polisi wamewakamata washukiwa wanne katika mkahawa wa parkside villa mjini kitui.  Watatu kati ya washukiwa hao ni raia wa kigeni na mkenya mmoja na wako njiani kuletwa hapa jijini Nairobi.

.
RELATED VIDEOS