5th January, 2019
Familia moja huko Nakuru inajiuliza maswali baada ya watoto wao watatu kuzaliwa wakiwa na matatizo ya kupooza ubongo au celebral palsy. Samuel gitonga pamoja na mkewe kezia wamboi ambao wanaishi katika mtaa wa mabanda wa manyani mjini nakuru wameshindwa kumudu gharama ya mahitaji ya kimsingi ya watoto hao.