×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanasiasa wa NASA Magharibi wamkashifu William Ruto, wasema hana msimamo

24th December, 2018

Naibu wa rais william ruto amejipata pabaya baada ya kujitokeza hadharani kupinga mabadiliko ya katiba akidai kwamba hatokubali katiba itakoyobuni nafasi za ziada za ungozi ili kuwanufaisha watu wengine. Leo viongozi wa chama cha anc na odm walimsuta na kulaani ziara zake za eneo la magharibi

.
RELATED VIDEOS