.
24th December, 2018
Naibu wa rais william ruto amejipata pabaya baada ya kujitokeza hadharani kupinga mabadiliko ya katiba akidai kwamba hatokubali katiba itakoyobuni nafasi za ziada za ungozi ili kuwanufaisha watu wengine. Leo viongozi wa chama cha anc na odm walimsuta na kulaani ziara zake za eneo la magharibi