Idadi ya abiria msimu huu wa Krisimasi yapungua kulingana na miaka iliyopita
24th December, 2018
Kila mwaka wakati wa krismasi wakenya wengi husafiri sehemu za mashinani kusherekea pamoja na familia zao. Usafiri huwa changamoto kubwa lakini mwaka huu mambo kidogo ni tofauti.