.
20th December, 2018
<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} </style>
Wenyeji wa kaunti ya Kisumu eneo la Kisian waliamkia tukio la kutatanisha baada ya kijana mmoja kupatikana akininginia katika nyaya za stima. Wenyeji walishindwa kubainisha kilichomchochea kijana huyo kuchukua hatua hiyo iliyokatiza maisha yake