20th December, 2018
<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} </style>
Wizara ya Leba sasa imeingilia kati ilani ya muungano wa walimu nchini KNUT iliyotangaza mgomo kwa kipindi cha siku kumi na nne zijazo na kuunda kamati maalum ambayo imetwikwa jukumu la kuhakikisha kwamba suluhu la kudumu limepatikana