×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waalimu wa chekechea walalamikia kubadilishwa kwa mtaala wa elimu wa 2-6-6-3

16th December, 2018

Hatua ya wizara ya elimu hapo jana kuahirisha mtaala wa elimu ya  2 6 6 3 kwa mwaka mmoja tena imeendelea kupokea hisia mseto kutoka kwa washikadau mbali mbali huku wengi wao wakilalamikia kutohusishwa kwenye maamuzi yanayohusu elimu nchini. 

Shirikisho la kutetea maslahi ya walimu wa shule za chekechea  early childhood education  limesema hatua hiyo imewaacha kwenye njia panda kuhusiana na hatma ya watoto wanaofaa kuanza shule mwaka ujao.

.
RELATED VIDEOS