×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Rais Uhuru na Kiongozi wa ODM Raila wazuru Kisumu, wasisitiza ummoja nchini

13th December, 2018

Kwa mara ya kwanza tangua salamu za heri Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga kwa pamoja wamezuru eneo la Nyanza ili kuzindua miradi mbalimbali ukiwemo ule mpango wa Huduma ya Afya kwa wote. Katika hotuba zao wamesisitiza umuhimu wa utangamano nchini. Wengine waliohudhuria hafla hiyo ni pamoja na Naibu Rais William Ruto na viongozi kutoka eneo hilo.

.
RELATED VIDEOS