×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Vitimbi Mazishini: Kizaazaa cha shuhudiwa mazishini eneo Wanyororo

13th December, 2018

Kizaazaa kilishuhudiwa katika makaburi ya Wanyororo mjini Bahati baada ya jamaa za mwendazake kukosa kusikizana iwapo wamzike marehemu aliyeaga dunia wiki jana au la. Mkewe marehemu na binamuze wawili walijirusha ndani ya kaburi na kukatalia huko wakati mahubiri yalipokuwa yakiendelea. 

.
RELATED VIDEOS