×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Katibu mkuu wa COTU Atwoli aonya dhidi ya kukata mishahara ya wafanyi kazi

13th December, 2018

Muungano wa Kitaifa wa Walimu nchini KNUT umeikashifu serikali kwa kile walichokitaja kuwa kutowahusisha katika ubunifu wa sera na mipangilio . Katibu mkuu Wilson Sossion amekariri kwamba ni makosa kukata mishahara ya walimu kugaramia mpango wa kuwajengea wafanyikazi wa umma pasi na makubaliano. Katibu mkuu wa chama cha wafanyikazi Francis Atwoli naye ameonya dhidi ya kukata mishahara ya wafanyi kazi kabla ya kuweka mikakati ya fedha hizo jinsi zitakavyotumika. Waliyasema haya kwenye kongamano la kila mwaka la muungano wa kitaifa wa walimu katika ukumbi wa Bomas hapa jijini Nairobi.

 

.
RELATED VIDEOS