'Nimeoa wawili kuonyesha kwamba sina wengine nje' Mwanaume aoa wanawake wawili kwa wakati mmoja
12th December, 2018
Mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka ishirini na saba huko Kajiado amefunga ndoa na wanawake wawili kwa wakati mmoja, kwa kile anachokitaja kuwa kufuata mila za wahenga wa jamii ya wamaasai.