×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Aliyekua Naibu Gavana Kilifi auawa kwa kupigwa risasi, wahalifu bado wanasakwa

12th December, 2018

Utovu wa usalama katika kaunti ya Mombasa unaendelea kujenga wingi kubwa la hofu baada ya majambazi kuyavamia makao ya aliyekuwa Naibu Gavana wa Kilifi Kennedy Kamto na kumpiga risasi hadi kifo huko Nyali. Viongozi waliofika kuifariji jamaa ya marehemu wameitaka serikali kudumisha usalama katika Pwani ya Kenya

 

.
RELATED VIDEOS