×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Raila amewasuta wanasiasa kutoka mkoa wa Bonde la Ufa wanaopinga vita vinavyoendelea dhidi ufisadi

10th December, 2018

Kinara wa ODM Raila Odinga amewasuta wanasiasa kutoka mkoa wa Bonde la Ufa wanaopinga vita vinavyoendelea dhidi ufisadi wakikisia kudhulumiwa kikabila. Raila aliyezungumza katika kanisa la PCEA kiangonya katika kaunti ya Kiambu? amesema vita hivi vitaendelea, na kuwa yeye na rais uhuru kenyatta hawatosita kwenye juhudi zao kupambana na jinamizi hili.

.
RELATED VIDEOS