.
9th December, 2018
Baadhi ya viongozi wa kisiasa sasa wanatilia shaka vita dhidi ya ufisadi vinavyoendelea na kudai kuwa vita hivyo vinalenga watu wa jamii moja.
Wakizungumza katika eneo la magharibi, mjini Bungoma wabunge Didmus Barasa na John Waluke wametaka naibu wa rais William Ruto kupanua ziara zake katika maeneo zaidi ya Magharibi.