.
8th December, 2018
Mtazamaji unafahamu kuwa Kabila la Elmolo linaloishi eneo la kaskazini mwa nchi ndilo kabila lenye idadi ndogo zaidi ya watu nchini? Inabainika kwamba licha ya kuwa katika hatari ya kumezwa na makabila mengine makubwa, utamaduni wa jamii hii na hali yake ya maisha imeendelea kuwa kivutio kikubwa mno katika sekta ya utalii. Nilijumuika na jamii hiyo na kuandaa taarifa ifuatayo.