×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wizara ya Ardhi iwaahidi waakazi wa Laikipia kuhakikisha wamepata hati za mashamba

5th December, 2018

Wizara ya Ardhi imeahidi kutolegeza kamba kuhakikisha wakazi katika Kaunti ya Laikipia wamepata hati miliki za ardhi. Akizungumza mjini Nanyuki, Waziri Faridah Karoney amesema kuwa wizara yake ipo katika mikakati ya kutoa hati miliki 35,000 kwa wakazi hao. Waziri huyo aliyasema hayo aliphodhuria hafla ya kupokea malalamishi na maoni ya wakazi kuhusu ardhi. Awali, wakazi kupitia kwa waakilishi wao walilalamikia jinsi shughuli huendeshwa katika wizara hiyo. Kaunti ya Laikipia imeshuhudia visa kadhaa vya utapeli wa ardhi.

.
RELATED VIDEOS