×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kiongozi wa Mashtaka Hajji afafanua hatua yake ya kumteua wakili wa kutoka Uingereza

5th December, 2018

 

Kiongozi wa Mashtaka ya Umma Noordin Hajji amefafanua kwa wakenya hatua yake ya kumteua wakili wa malkia wa Uingereza kuongoza kesi ya ufisadi dhidi ya Naibu Jaji mkuu Philomena Mwilu. Hajji amesema kjwama wakili Khawar Qureshi atasimamia kesi hiyo kutokana na kwamba mawakili wa tajriba humu nchini hawako tayari kusimamia kesi inayohusu ubadhirifu wa mamilioni ya pesa, na ambayo inatishia kumaliza taaluma ya Jaji Mwilu, ya miaka thelathini na miwili.  

.
RELATED VIDEOS