.
2nd December, 2018
Kiongozi wa chama cha ANC Musalia Mudavadi ameitaka jamii ya Kalenjin kurejesha fadhila na kumuunga mkono katika jitihada zake za kutafuta uongozi wa taifa mwaka 2022 akidai kuwa jamii yake imekuwa ikiwaunga mkono watu wa jamii hiyo kwa miaka mingi.