×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wizara ya Elimu yapendekeza kupigwa marufuku video za ngono kwenye mitandao ya kijamii

28th November, 2018

 

Washikadau kwenye sekta ya elimu sasa wanapendekeza kufutiliwa mbali kwa sinema za ngono kwenye mitandao ya kijamii wakisema ndicho kichocheo cha mimba za mapema miongoni mwa idadi kubwa ya watoto wa kike waliokuwa wakifanya mtihani wa kitaifa mwaka huu. Haya yamezungumza wakati wa kufunga rasmi mchakato wa mtihani wa KCSE ambao umekamilika leo kote nchini.

.
RELATED VIDEOS