.
27th November, 2018
Mwanahabari wa runinga ya citizen Jacque Maribe, anayekabiliwa na mashtaka ya mauaji ya Monicah Kimani, amepata afueni baada ya mahakama kuamuru kwamba akabidhiwe nyumba na taarifa za mashahidi kwenye kesi dhidi yake. Hata hivyo upande wa mashtaka umeshikilia kuwa kamwe Maribe hatarejeshewa gari na simu baada ya Kuorodheshwa kuwa vifaa vya ushahidi mahakamani.