×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Afueni kwa Maribe, korti ikiamuru aruhusiwe kuingia nyumbani kwake

27th November, 2018

 

Mwanahabari wa runinga ya citizen Jacque Maribe, anayekabiliwa na mashtaka ya mauaji ya Monicah Kimani, amepata afueni baada ya mahakama kuamuru kwamba akabidhiwe nyumba na taarifa za mashahidi kwenye kesi dhidi yake. Hata hivyo upande wa mashtaka umeshikilia kuwa kamwe Maribe hatarejeshewa gari na simu baada ya Kuorodheshwa kuwa vifaa vya ushahidi mahakamani.

.
RELATED VIDEOS