26th November, 2018
KTN News imefanikiwa kuzungumza na bawana aliyenaswa jana kwenye kamera ya simu akikabiliana na maafisa wa trafikli huko nakuru eneo la section 58. Anavyoeleza frank otieno, bwana huyo aliyeomba kufichwa sura yake, amedai kwamba maafisa hao walimkosea heshima katika kazi yake na hata kumuomba mlungula.