.
22nd November, 2018
Ujenzi wa jengo lenye ghorofa sita katika eneo la Umoja umesimamishwa mara moja kwa kukiuka kanuni za ujenzi na kwa kuwa hafifu. Ilani ya ubomozi ilikuwa imetolewa hapo awali lakini mmiliki wa jengo hilo akaitoa na kuendelea na ujenzi