Hospitali ya Hola yalaumiwa baada ya kifo cha mama na mtoto wake
22nd November, 2018
Mama na mtoto wake wamezikwa pamoja katika eneo la Hola. Mama huyo anadaiwa kukosa nguvu kwa kuwa mtoto alikufia tumboni familia inalaumu hospitali ya Hola kwa kutotilia maanani ombi la mama huyo kabla ya kufariki