×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waliojeruhiwa na 'Al Shabaab' wako hali sawa, washukiwa 14 wakamatwa kusaidia uchunguzi

22nd November, 2018

Watu 5 waliopata majeraha ya risasi kwenye shambulizi la Jumanne usiku sehemu ya Chakama mjini malindi kaunti ya Kilifi, wapo katika hali nzuri isio ya hatari huku maafisa wa polisi wakiwazuia washukiwa 14 kutokana na tukio hilo katika makao ya watoto sehemu ya chakama. Oparesheni ya kumtafuta mfanyikazi mmoja wa kujitolea raia wa italia aliyetekwa nyara inaendelea

.
RELATED VIDEOS