.
21st November, 2018
Watu watano wamejeruhiwa na mwanamke mmoja mwenye asili ya kitaliano kutekwa nyara na watu wanaoaminika kuwa wanamgambo wa Al?shabaab katika shambulio dhidi ya makao ya watoto yatima katika kijiji cha Chakama yapata kilomita 80 kutoka mji wa Malindi.