×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Vijana viongozi wa Afrika Mashariki wakosoa mienendo ya jumuiya katika utekelezaji wa SDGs

20th November, 2018

Vijana 250 wanaohudhuria kongamano la vijana viongozi wa Afrika Mashariki linalofanyika mjini Arusha nchini Tanzania wamekosoa mwenendo wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki katika utekelezaji wa malengo 17 ya ajenda 2030 ya maendelo endelevu (sdgs) yanayohimiza serikali, asasi za kiraia na mashirikia ya kibinadamu kuchukua hatua za kuufuta umaskini, kuihami dunia dhidi ya uharibifu wa mazingira na kuhakikisha kwamba kila mwanadamu anaishi maisha stahiki katika amani na ustawi. 

.
RELATED VIDEOS