×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waziri Amina, wakurugenzi wa UNESCO wazindua ripoti ya masuala ya elimu mwaka 2019

20th November, 2018

Waziri wa Elimu balozi Amina Mohammed pamoja na wakurugenzi wa UNESCO na katibu katika Wizara ya Elimu walikutana katika hoteli moja jijini Nairobi na kuzindua ripoti ya masuala ya elimu 2019. Madhumini ya mkutano huu ilikuwa ni kuelimisha wakimbizi, wahamiaji na wakimbizi wa ndani na haswa watoto katika nchi ya Kenya.

.
RELATED VIDEOS