.
20th November, 2018
Siku moja baada ya kushehereka matokeo mtoto Mary Mutua anapokea matibabu ya ugonjwa wa saratani katika hospitali ya Coast General Kaunti ya Mombasa. Mary ambaye alijizolea alama 415 ni miongoni mwa watahiniwa 12,273 waliofanya vyema zaidi katika mtihani wa KCPE