.
19th November, 2018
Hisia mseto zimeendelea kutolewa kuhusiana na mustakabali wa wakulima baada ya siku nyingi za mafadhaiko na malalamiko chungu nzima kuhusu pembejeo, mauzo ya nafaka na gharama ya ukulima kwa jumla. Baadhi ya viongozi kutoka eneo la North Rift sasa wamesema wataandaa mkutano wa pamoja kwenye mchakato wa kutafuta suluhu ya kudumu.