×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Atwoli awakashifu wahudumu wa boda boda wasiofuata sheria

17th November, 2018

Katibu mkuu wa muungano wa vyama vya wafanyikazi COTU Francis Atwoli amekashifu vikali vifo na majeraha ambayo yamesababishwa na wahudumu wa boda boda kwa kukosa kutii sheria ya barabarani.  Atwoli ambaye alikuwa anazungumza katika hafla ya mazishi mjini mwea kaunti ya kirinyaga, ameshinikiza waziri wa uchukuzi pamoja na yule wa usalama kutolegeza kamba katika msako unaoendelea 
wa kurejesha nidhamu barabarani. 

.
RELATED VIDEOS