×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wabunge wa 'North Rift' watetea wakulima wa mahindi

17th November, 2018

Mkutano wa wakulima kutoka North Rift mjini Eldoret kuhusu bei ya mahindi na malipo ya wakulima ulifanyika hii leo ambapo mbunge Alfred Keter wa nandi hills, joshua kutuny wa cherangany na silas tiren wa moiben wamependekeza gunia la mahindi la kilo tisini linunuliwe kutoka kwa wakulima kwa shilingi 3,600. Majuma machache yaliyopita serikali ilikuwa imetangaza kununua mahindi kutoka kwa wakulima kwa shilingi 2, 300 kwa gunia la kilo tisini, bei ambayo ilipingwa vikali na wakulima. 

.
RELATED VIDEOS