Operesheni Mombasa: Magari ya umma yakosekana barabarani
12th November, 2018
Huko mombasa wakazi walitaabika, hakuna magari ya umma ambayo yalikuwa yakifanya kazi wengi wakilazimika kupiga guu wakielekea kazini. Wafanyabiashara hasa kutoka soko la kongowea ndio walitaabika zaidi