×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gavana wa Nyandarua Francis Kimemia kuhojiwa kuhusu uhasama dhidi ya Spika

8th November, 2018

 

Kamati ya seneti inayoshughulika na masuala ya ugatuzi imemtaka Gavana wa Nyandarua Francis Kimemia kufika mbele ya kamati hiyo wiki ijayo.  Hii inafuatia madai kwamba Gavana Kimemia anachochea uhasama kati ya mawaziri wa serikali ya kaunti hiyo na wawakilishi wa wodi ili kumfurusha spika wa kaunti hiyo. Tayari, ukumbi unaojumuisha maspika wa serikali za magatuzi wamefikisha hoja kwa seneti wakitaka kulindwa dhidi ya njama za kuwafurusha wanaposukumiza uwajibikaji katika matumizi ya pesa ya umma.

.
RELATED VIDEOS